Skip to main content

DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUPIKA UBUYU

JINSI YA KUPIKA UBUYU ♦️MAHITAJI 👉 Sukari vikombe 2 👉 Maji vikombe 2 👉 Nusu kikombe unga wa  ubuyu  👉 Vikombe 4 ubuyu wenyewe  👉 ¼ Kijiko cha pili pili ya unga  👉 ¼ Kijiko cha chumvi 👉 ¼ Kijiko cha iliki ya unga 👉 Rangi nyekundu au yeyote  utakavyopenda. ♦️JINSI YA KUTENGENEZA 1. Katika sufuria,weka maji na sukari na chumvi na pili pili ya unga na Rangi na iliki.  Moto uwe juu kiasi na changanya vyote hivyo vipike vizuri.  2. Wakati vitu vinaanza kujipika utakuta rojo linatoa mapovu. Endelea tu kukoroga acha rojo lipikike vizuri. Baada ya hapo mapovu yakianza kutulia inamaanisha kua rojo limeanza kua zito. Sasa hapo chota kidogo katika mwiko na test kwa vidole kama rojo linanata ua halinati. Rojo linatakiwa linate ndio linakua limeiva. Lisinate Sana kiasi tu.  3. Kisha mimina ubuyu wa kokwa na changanya vizuri kabisa katika rojo. Endelea kupika vizuri kama dakika 2 hivi. Kisha mimina unga wa ubuyu na changanya vizuri tena....

Jinsi ya kupika Half cake

 Jinsi ya kupika Half cake Mahitaji Unga wa ngano kikombe 1na1/2 (kama robo hivi) Sukari 1/4 kikombe Baking powder 1/2 kijiko cha chai Magadi soda (bicarbonate soda/baking soda) 1 kijiko cha chai Mafuta 2 vijiko vya chai Mafuta ya kukaangia Maji ya uvuguvugu kiasi Matayarisho Changanya unga na vitu vyote (kasoro mafuta ya kuchomea) kisha ukande (hakikisha unakuwa mgumu) Baada ya hapo sukuma na ukate shape uipendayo (hakikisha unakata vipande vinene kiasi na sio kama mandazi) Baada ya hapo ziweke sehemu yenye joto na uache ziumuke. Zikisha umuka zikaange katika moto mdogo ili ziive mpaka ndani. Zikisha iva zitoe na uziweke katika kitchen towel ili zichuje mafuta. Ziache zipoe na hapo zitakuwa tayari kwa kuliwa. dondoo muhimu:-👇👇👇👇👇 Jinsi ya kupika half keki zilizo pasuka na kuiva vizuri. 1.Hakikisha unatumia vipimo sahihi bila kusahau bicarbonate of soda(baking soda) hiki ndicho kiungo muhimu ktk half cake na baking powder...(hamira SI lazima kuweka kwa half cake za...

JINSI YA KUPIKA PILIPILI YA UKWAJU. HOW TO COOK HOT PEPPER

 JINSI YA KUPIKA PILIPILI YA UKWAJU MAHITAJI 1- PILIPILI MBUZI/MWENDO KASI LITA 4 2- UKWAJU 250 GRAM 3- NYANYA /TUNGULE KG 1 4- VITUNGUU MAJI 5 VIKUBWA 5- VITUNGUU SWAUMU 1/2 KG (usinunue vya kichina) 6- PILIPILI MANGA YA UNGA VIJIKO 3 VYA CHAKULA 7- BINZARI YA UNGA VIJIKO 3 VYA CHAKULA 8- MANJANO KIJIKO 1 CHA CHAKULA 9- MCHUZI MASALA VIJIKO 3 VYA CHAKULA 10- AMDALASINI VIJIKO 3 VYA CHAKULA 11- KAROTI KUBWA 3 12-MAJI YA MOTO VIJIKO 2 VYA CHAKULA 13-VINEGAR 1/4 LITA 14-SOY SAUCE 1/4 LITA 15 -CHUMVI 100 GRAMS 16-SUKARI 50 GRAMS 17 -MAFUTA YA KUPIKA 1/4 LITA 18- UNGA WA NGANO 30 GRAMS JINSI YA KUANDAA - TOA VIKONYO VYA NYANYA,  KAROTI,PILIPILI MBUZI /MWENDOKASI NA VITUNGUU MAJI KISHA KATAKATA VIPANGE VIDOGO VIDOGO - BAADA HAPO MENYA VITUNGUU SWAUMU NA UVITWANGE MPAKA VIWE LAINI KABISA KISHA CHANGANYA KWENYE BAKULI LA VITU VYAKO ULIVYO KATAKATA - BAADA YA HAPO CHUKUA CHUPA YA SOY SAUCE NA UKWAJU WAKO MIMINA KWENYE MCHANGANYIKO WAKO NA UCHANGANYE TENA KWA MWIKO VIZURI -...