MWANAUME KUWA DHAIFU KATIKA TENDO LA NDOA.
Kuna Mambo mengi yanayopelekea wanaume kuwa dhaifu katika tendo la ndoa.
1) Maradhi,
2) Vyakula,
3) Mazoezi,
4) Mawazo,
5) Mifumo ya mwili(Uzito, unene, kitambi nk.)
Maradhi yanayosababisha udhaifu kwa mwanaume ni kama;
1) Sukari
2) Presha
3) Ngiri
4) Maradhi ya moyo
5) Bawasiri
6) Tezi dume
8) Utumiaji vilevi....
Mwenye nayo hayo asihangaike kutafuta dawa za kuongeza nguvu atafute dawa ya maradhi yake kila kitu kitakaa sawa.
Vyakula:
Mwanaume usipendelee vyakula vyenye mafuta mengi pia vyakula vyenye sukari nyingi pia vyakula vyenye gesi hivi ni hatari kwako bali tumia vyakula vya asili kwa wingi mboga za majani kwa wingi matunda na maji ya kutosha.
Pia pendelea vyakula vya kuamsha hisia kama karanga, asali, chai, tangawizi n.k.
Mazoezi:
Pendelea sana mazoezi ya joging, mazoezi ya squat, mazoezi ya kuruka kamba, push up, kichurachura hujenga misuli pia hujenga pumzi.
Mawazo:
Epuka mawazo haswa kipindi kile unajiandaa kwenda kwenye kiwanja cha vita ingia wewe kama wewe utashinda ila mkiingia wawili yaani wewe na mawazo utashindwa.
Si kila pahala unawaza hata uwe na maisha magumu kiasi gani kuna maeneo weka shida chini nyoosha mikono juu ili mambo mengine yaende.
Mifumo ya mwili:
Kuna muda mwili unataka kupumzika usiulazimishe na haswa ukitaka kufaulu vita ya usiku jiwekee utaratibu wa kupumzika mchana walau nusu saa.
Epuka uzito wa juu, mafuta mengi, kitambi n.k.
Kuna Mambo mengi yanayopelekea wanaume kuwa dhaifu katika tendo la ndoa.
1) Maradhi,
2) Vyakula,
3) Mazoezi,
4) Mawazo,
5) Mifumo ya mwili(Uzito, unene, kitambi nk.)
Maradhi yanayosababisha udhaifu kwa mwanaume ni kama;
1) Sukari
2) Presha
3) Ngiri
4) Maradhi ya moyo
5) Bawasiri
6) Tezi dume
8) Utumiaji vilevi....
Mwenye nayo hayo asihangaike kutafuta dawa za kuongeza nguvu atafute dawa ya maradhi yake kila kitu kitakaa sawa.
Vyakula:
Mwanaume usipendelee vyakula vyenye mafuta mengi pia vyakula vyenye sukari nyingi pia vyakula vyenye gesi hivi ni hatari kwako bali tumia vyakula vya asili kwa wingi mboga za majani kwa wingi matunda na maji ya kutosha.
Pia pendelea vyakula vya kuamsha hisia kama karanga, asali, chai, tangawizi n.k.
Mazoezi:
Pendelea sana mazoezi ya joging, mazoezi ya squat, mazoezi ya kuruka kamba, push up, kichurachura hujenga misuli pia hujenga pumzi.
Mawazo:
Epuka mawazo haswa kipindi kile unajiandaa kwenda kwenye kiwanja cha vita ingia wewe kama wewe utashinda ila mkiingia wawili yaani wewe na mawazo utashindwa.
Si kila pahala unawaza hata uwe na maisha magumu kiasi gani kuna maeneo weka shida chini nyoosha mikono juu ili mambo mengine yaende.
Mifumo ya mwili:
Kuna muda mwili unataka kupumzika usiulazimishe na haswa ukitaka kufaulu vita ya usiku jiwekee utaratibu wa kupumzika mchana walau nusu saa.
Epuka uzito wa juu, mafuta mengi, kitambi n.k.
Comments
Post a Comment